Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Kanisani, Dar Es Salaam

Maelezo
π‘ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA β CHAMAZI KANISANI π
Unatafuta nyumba nzuri ya familia kwa bei nafuu? Hii hapa opportunity ya kipekee kabisa! π₯
β¨ SIFA ZA NYUMBA: β
Vyumba 3 vya kulala
β
Sitting Room kubwa
β
Dining Room
β
Jiko la kisasa
β
Mazingira mazuri na salama
β
Dakika chache tu kutoka barabara ya lami
π° Bei: Milioni 35 Tu!
β‘ Wahi mapema uchukue hii kabla haijaondoka.
π 0683 665504















