Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Njimwema (Kibugumo), Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
14m
Huduma na Sifa
Maelezo
#Repost @dalali_kigamboni_plots_forsale
——
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI NJIMWEMA (KIBUGUMO)
✨ Nyumba kali sana, imekamilika kwa viwango vya juu kabisa!
📍 Ipo mita 14 tu kutoka barabara kubwa ya lami
📐 Kiwanja SQM 600 (kimepimwa & kina hati)
🛏️ Vyumba 3 vya kulala
🛁 2 ni Master
🛋️ Sebule kubwa ya kisasa
🍽️ Jiko la kisasa
🔥 Sifa za nyumba:
✔️ Full AC
✔️ Aluminium windows
✔️ Tiles + Gypsum
✔️ Ndani ya fensi
✔️ Paving nzuri
✔️ Parking kubwa
✔️ Kisima + Tenki la maji
✔️ Mazingira mazuri na salama
💰 Bei: TZS 165,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo)
💵 Service charge: TZS 30,000
📞 Call/WhatsApp: +0755 454 251 0688 262 000
#dalali #dalalimrboss tabata# #plotsforsale tabata tabathouses nyumbazauzwa realestatetz dar darsalaam nyumbabora
Gharama za kwenda kuona ELFU 50TH Contact 0755 454 251 0688 262 000 0715 423 267 🇹🇿 💙















