Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Maelezo
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI 📍
Unatafuta nyumba ya kisasa kwa ajili ya familia au uwekezaji? Hii hapa opportunity ya kipekee kabisa iliyopo Chamazi, mazingira mazuri, salama na yenye maendeleo ya haraka. 🔥
✨ SIFA ZA NYUMBA
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Chumba 1 Master Bedroom
✅ Sitting Room kubwa na ya kisasa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa pamoja na Store
✅ Public Toilet
✅ Kisima cha maji cha uhakika
✅ Parking kubwa ya magari
📍 Ipo Mbagala Chamazi – Dar es Salaam
✅ Dakika chache kutoka barabara ya lami
✅ Hati safi ya serikali ya mtaa
✅ Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji
⏰ Dakika 20 tu kufika mjini
💰 Bei: Milioni 68 tu
🤝 Maongezi yapo kwa mteja serious
📞 Kwa maelezo zaidi na kwenda site:
☎️ 0683 665504
🔥 Njoo ukague mwenyewe, nyumba ni kali sana na inavutia!
#NyumbaInauzwa #Chamazi #Mbagala #DarEsSalaam #RealEstateTanzania















