Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (400 sqm)





Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENTS 2 in 1 ZINAUZWA โ TABATA SEGEREA ๐ฅ
Fursa adimu ya uwekezaji katika eneo lenye mahitaji makubwa!
Ndani ya compound moja kuna nyumba 2 za kisasa, kila moja ikiwa na:
โ
Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
โ
Sebule kubwa
โ
Jiko
โ
Choo cha wageni (Public Toilet)
โ
Maji na umeme wa kujitegemea
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 400
๐ฃ๏ธ Barabara nzuri, panafikika kwa urahisi
๐๏ธ Mazingira mazuri na salama
๐ฐ Kwa sasa kila nyumba inapangishwa kwa TSh 450,000/= kwa mwezi, hivyo unaweza kuendelea kukusanya kodi mara moja baada ya kununua.
๐ Ukiifanyia maboresho madogo ya finishing, unaweza kuongeza thamani ya upangishaji hadi TSh 600,000 โ 1,000,000+ kwa mwezi kwa kila nyumba, kutokana na mahitaji makubwa ya nyumba za vyumba 3 maeneo ya Tabata Segerea.
๐ฏ Chaguo ni lako:
โ๏ธ Nunua kwa uwekezaji na endelea kukusanya kodi
โ๏ธ Ishi kwenye nyumba moja na pangisha nyingine
โ๏ธ Karabati kidogo na kuongeza mapato yako ya kila mwezi
๐ต Bei: Milioni 90
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
๐ Muhitaji piga: +255 688 412 890
Dalali wako Wakishua. ๐กโจ















