Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (400 sqm)





Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENTS 2 in 1 ZINAUZWA – TABATA SEGEREA 🔥
Fursa adimu ya uwekezaji katika eneo lenye mahitaji makubwa!
Ndani ya compound moja kuna nyumba 2 za kisasa, kila moja ikiwa na:
✅ Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Choo cha wageni (Public Toilet)
✅ Maji na umeme wa kujitegemea
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 400
🛣️ Barabara nzuri, panafikika kwa urahisi
🏘️ Mazingira mazuri na salama
💰 Kwa sasa kila nyumba inapangishwa kwa TSh 450,000/= kwa mwezi, hivyo unaweza kuendelea kukusanya kodi mara moja baada ya kununua.
📈 Ukiifanyia maboresho madogo ya finishing, unaweza kuongeza thamani ya upangishaji hadi TSh 600,000 – 1,000,000+ kwa mwezi kwa kila nyumba, kutokana na mahitaji makubwa ya nyumba za vyumba 3 maeneo ya Tabata Segerea.
🎯 Chaguo ni lako:
✔️ Nunua kwa uwekezaji na endelea kukusanya kodi
✔️ Ishi kwenye nyumba moja na pangisha nyingine
✔️ Karabati kidogo na kuongeza mapato yako ya kila mwezi
💵 Bei: Milioni 90
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890
Dalali wako Wakishua. 🏡✨















