Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni / Malaika Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก๐ฅ GHOROFA LA KISASA LINAUZWAโ KIGAMBONI, /MALAIKA BEACH ๐ฅ๐ก
๐ FURSA YA KIPEKEE KARIBU NA BEACH!
Ghorofa la kisasa kabisa linauzwa Kigamboni, eneo la Mikadi/Malaika Beach, sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji wa kitalii. Eneo la Mikadi liko karibu na Kigamboni Ferry na lina ufukwe wa Bahari ya Hindi.
โจ SIFA ZA GHOROFA:
โ
Vyumba 4, vyote Master
โ
Sebule
โ
Dining
โ
Jiko
โ
Design ya kisasa kabisa
๐ Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
๐ Hati ya Wizara
๐ Takribani mita 200 kutoka Beach
๐ UMBALI:
๐ Mita 200 kutoka barabarani
โด๏ธ Kilomita 3 kutoka Ferry
๐ Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
๐ฐ BEI: TZS MILIONI 480
๐ค Mazungumzo kidogo yapo.
๐ฅ GHOROFA HILI LINAfaa kwa:
๐จ Hotel
๐ก Airbnb
๐ House Party
๐ Makazi ya familia
๐ Uwekezaji wa muda mrefu
๐ด Eneo la Kigamboni lina fursa nzuri kwa miradi ya makazi na utalii kutokana na ukanda wake wa pwani.
๐
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















