Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI FANI CITY
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba mpya ya kisasa katika eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi na uwekezaji.
π Mahali: Kigamboni β Fani City
π Nyaraka: Sales Agreement
β¨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 4, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Nyumba mpya kabisa
* Kisima cha maji
* Fremu ya biashara ndani ya eneo
* Mazingira tulivu na salama
π Umbali:
* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 12 kutoka Feri
* Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei:
TZS Milioni 135 (Mazungumzo yapo.)
π₯ BEI IMEPUNGUA!
Hapo awali nyumba hii ilikuwa inauzwa kwa TZS Milioni 160, lakini kwa sasa mwenye nyumba anaiuza kwa TZS Milioni 135 tu.
π Wasiliana nasi: 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















