Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Barabara ya Karibu
3.5km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI KISIWANI π‘
Nyumba nzuri kabisa inauzwa Kigamboni Kisiwani, imejengwa kwa kisasa na imekaa kifamilia zaidi.
β
Ina vyumba 4 vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Dining pamoja na Jiko
β
Nyumba imejengwa kisasa na finishing nzuri
π Mahali:
βοΈ Kilomita 10 kutoka Ferry
βοΈ Kilomita 3.5 kutoka Daraja la Nyerere
π Documents:
β
Serikali ya Mtaa
π° Bei: Milioni 115 maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi serious.
π Nyumba imekaa kifamilia na mazingira ni mazuri na tulivu kwa makazi.
Karibu sana tujiunge kufanya uwekezaji wako wa ndoto π΄π₯
π0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzaniaπΉπΏ #realestateforsale #trendingaudio















