Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi โ€“ Mkongo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 190,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA INAUZWA โ€“ MBAGALA CHAMAZI (MKONGO)

Nyumba kubwa na ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 190 (maongezi yapo).

๐Ÿ“ Location: Mbagala Chamazi โ€“ Mkongo

Sifa za nyumba:
โœ”๏ธ Vyumba 4 vya kulala โ€“ vyote ni master bedroom
โœ”๏ธ Sebule kubwa na ya kisasa
โœ”๏ธ Jiko la kisasa
โœ”๏ธ Boya kota: chumba, sebule, master na jiko lake (juu na chini)
โœ”๏ธ Nyumba ya kisasa yenye muonekano wa kuvutia

๐Ÿ’ฅ Nyumba ni kubwa, nzuri na inafaa kwa familia au uwekezaji

๐Ÿ‘‰ Njoo site ujionee mwenyewe โ€“ huwezi kuiacha ukiwa serious!

๐Ÿ“ž Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504

Matangazo yanayofanana Chamazi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Kanisani, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

  • Karibu na Barabara ya Lami

  • Sebule

  • Dining

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

  • Parking Space

  • Karibu na Barabara ya Lami

  • Dining