Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Kanisani, Dar Es Salaam

Maelezo
🏡 NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – CHAMAZI KANISANI 📍
Unatafuta nyumba nzuri ya familia kwa bei nafuu? Hii hapa opportunity ya kipekee kabisa! 🔥
✨ SIFA ZA NYUMBA: ✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Sitting Room kubwa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa
✅ Mazingira mazuri na salama
✅ Dakika chache tu kutoka barabara ya lami
💰 Bei: Milioni 35 Tu!
⚡ Wahi mapema uchukue hii kabla haijaondoka.
📞 0683 665504















