Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam

Maelezo
🏡 APARTMENT INAPANGISHWA – GOBA NJIA NNE 🏡
💰 Bei: Tsh 450,000 kwa mwezi
📍 Location: Goba Njia Nne, Dar es Salaam
✨ VYUMBA:
✅ Chumba kimoja cha kulala
✅ Sebule nzuri na yenye nafasi
✅ Jiko la kisasa
✅ Choo na bafu
✅ Mazingira safi na salama
📞 Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Ndakama Real Estate
📱 0683 488 947
📍 Lufungila
#ApartmentForRent #GobaNjiaNne #NyumbaZaKupanga #DarEsSalaamHomes #NdakamaRealEstate RealEstateTanzania















