Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Kisota, Kigamboni, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Aina
Kiwanja (Commercial Plot)
Ukubwa
4000 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘π’ KIWANJA CHA UWEKEZAJI KINAUZWA β KIGAMBONI KISOTA π’π‘
Fursa adhimu kwa wawekezaji wakubwa kumiliki kiwanja chenye eneo kubwa katika Kigamboni Kisota, eneo linalokua kwa kasi na lenye miundombinu mizuri.
β
Eneo la Face B
β
Tambarare kabisa na tayari kwa maendeleo
β
Barabara inafikika kwa urahisi
β
Mita 300 tu kutoka barabara kuu ya lami
β
Kilomita 3.5 kutoka Feri ya Kigamboni
β
Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere
β
Ukubwa: Meta za mraba 4,000 (sawa na hekta 1)
π° Bei: TZS 780,000,000 tu
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
π₯ Ujenzi wa hospitali
π« Ujenzi wa shule
π’ Apartment za kupangisha
ποΈ Miradi ya nyumba za kuuza
π Yadi za biashara na maghala
π Makampuni na uwekezaji mbalimbali wa kibiashara
Eneo hili lina mazingira mazuri, linaendelea kwa kasi na lina thamani kubwa ya uwekezaji kwa sasa na siku zijazo.
π+255-769554221
#trendingvideo #istagram #vairal #realestateforsale #trendingsongs















