Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (700 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
700 SQM
Maelezo
KIWANJA KINAUZWA β TABATA BONYOKWA
Unatafuta kiwanja katika eneo bora kwa makazi au uwekezaji? Hiki ndicho fursa unayoisubiri!
π Eneo: Tabata Bonyokwa
π Ukubwa: Sqm 700
π° Bei: TSh Milioni 85 (Inajadiliwa)
π Hati: Hati Miliki ya Wizara
Sifa za kiwanja:
β
Kipo katika neighborhood nzuri sana.
β
Kinapakana na barabara kubwa ya mtaa inayopitika muda wote.
β
Hakina mto, bonde wala korongo.
β
Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi.
β
Pia ni bora kwa uwekezaji wa apartments au nyumba za biashara kutokana na eneo lake zuri.
Karibu uwekeze leo na ujenge kesho yako kwa uhakika.
π Muhitaji piga: +255 653233641 au 0768682919
πΌ Service Charge: TSh 50,000/=















