Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (225 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
225 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
#Repost dalali_viwanja_nyumba_dar_
——
🏡 KIWANJA KINAUZWA –TABATA KINYEREZI MWISHO MUHANGA 🏡
💰 BEI: MILIONI 13 TU
📐 Ukubwa: MITA 15 KWA 15 MITA
✅ Kiwanja ni tambarare kabisa.
✅ Kiwanja kipo mtaa mnzuri sana kumejengeka
✅ Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto.
✅ Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
📄 Umiliki wake ni Sales Agreement.
Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
📞 Muhitaji piga: +255 768682919 au 0653233641
💵 Gharama ya huduma (Service Charge): 50,000/=
Karibu Tajiri!
Miliki Kesho Yako Leo!!! 🚀🏡















