Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (7249 sqm)

Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
8 hours ago
Sh. 500,000,000 per month
Aina
Kiwanja
Ukubwa
7249 SQM
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Uzio
Ardhi Iliyopimwa
Maelezo
Eneo kubwa sana linauzwa bei milion 500 maongezi kidogo yapo, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 7249, hapa katika kiwanja hiki kipo ndani ya fensi kubwa sana unakagua hadi unachoka kutembea, pia hapa migomba ya ndizi, machungwa, minazi, maembe, ndimu, n.k, pia kuna mabanda mawili ndani ya fensi na mageti 2, eneo limepimwa tayari, hapa unaweza jenga apartment, yard, godwn, makanisa n.k, Location tabata kinyerezi dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 70000
Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam
