Nyumba inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam (1800 sqm)
Aina
Nyumba
Ukubwa
1800 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก ENEO ZURI LINAUZWA โ KIGAMBONI KIBADA BLOCK 17 ๐
Unatafuta eneo tayari kwa makazi au uwekezaji? Hili ni fursa ya kipekee!
โ
Ukubwa: Sqm 1,800
โ
Limezungushiwa fence yote
โ
Lina flats 5
โ
Lina servant quarter ya vyumba viwili (tayari kuna mpangaji)
โ
Umeme umefika
โ
Maji ya kisima yenye mnara wa tenki na tenki tayari
โ
Pia kuna huduma ya maji ya DAWASA
โ
Uhakika wa maji ni 100%
โ
Lipo kwenye mtaa tulivu na wenye maendeleo makubwa
๐ฐ Bei: TZS 135,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo.)
๐ Wasiliana nasi:
๐ฑ Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
๐ผ Service Charge: TZS 30,000
#Kigamboni #Kibada #DalaliKigamboni #DalaliDarEsSalaam #DalaliNyumbaViwanja RealEstateApartment CreatorSearchInsights ForSale DarEsSalaam















