Nyumba inauzwa Mbagala Chamazi โ€“ Magengeni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 140,000,000

Aina

Nyumba

Barabara ya Karibu

1minute

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Fremu2
Apartment4

Maelezo

๐Ÿข NYUMBA INAUZWA โ€“ MBAGALA CHAMAZI (MAGENGENI)

Nyumba inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 140 (maongezi yapo).

๐Ÿ“ Location: Mbagala Chamazi โ€“ Magengeni

Sifa za nyumba:
โœ”๏ธ Ina fremu 2 za biashara
โœ”๏ธ Ina apartment 4 (vyumba vya chumba, sebule, master na jiko lake)
โœ”๏ธ Umbali wa dakika 1 tu kutoka barabara kuu ya lami
โœ”๏ธ Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji

๐Ÿ’ฅ Hii ni fursa adimu kwa uwekezaji โ€“ mapato ya uhakika!

๐Ÿ‘‰ Njoo site ujionee mwenyewe kabla haijaenda

๐Ÿ“ž Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504