Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000/month

Maelezo

🏠 VYUMBA VYA KUPANGISHA – KIGAMBONI KISOTA DAR ES SALAAM 🏠

Nyumba mpya kabisa zinapangishwa Kigamboni Kisiwani, eneo zuri sana karibu kabisa na Daraja. Mazingira ni salama, tulivu na yanafaa sana kwa wanafunzi, wafanyakazi pamoja na biashara ya Airbnb.

✨ Sifa za nyumba:
✅ Chumba
✅ Choo
✅ Jiko
✅ Nyumba mpya kabisa
✅ Zipo ndani ya fensi
✅ Umeme unajitegemea
✅ Maji unajitegemea
✅ Maji safi ya kisima/septic ya uhakika
✅ Ulinzi wa kutosha
✅ Mazingira safi na tulivu

📍 Karibu sana na Daraja
📍 Usafiri rahisi kwenda mjini

🏡 Nyumba hizi zinafaa sana kwa:
✔️ Wanafunzi wa IFM
✔️ TIA
✔️ Mwalimu Nyerere Memorial Academy
✔️ Utumishi
✔️ CBE
✔️ DIT
✔️ Luce
✔️ Wafanyakazi wa mjini
✔️ Biashara ya Airbnb

💰 Kodi: TZS 200,000 tu kwa mwezi

🚗 Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit

📞 Call/WhatsApp: +255746407197

#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni airbnb roomsforrent dar es salaam hostel apart

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam