Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam







Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 200,000
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Sebu le
Jiko zuri
Maelezo
(200K × 4,5,6) MBEZI KWA MSUGURI
Hapa kuna chumba master sebule na jiko zuri
Inapangishwa MBEZI KWA MSUGURI
Bei 200,000 × 4
Luku na maji unajitegemea
Km 1 kutoka kituoni
Bajaji 500 ukishuka dakika 4 upo ndani
Bodaboda 1,000 mpaka mlangoni
Contact:
0654101710
0787205300
