Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Songas Kinaga Zabika, Dar Es Salaam
Tabata, Dar Es Salaam
12 hours ago
Sh. 190,000/month
Maelezo
Chumba master, sebule na open kitchen inapangishwa bei 190000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, kutoka kituoni ni dakika 8 hadi 10 hivi, Ni maeneo ya tabata kinyerezi songasi kinaga zabika dar es salaam
Calls/whatsapp au
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















