Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 STAND ALONE HOUSE INAPANGISHWA
📍 Mahali: Mbezi Beach, Dar es Salaam
💰 Kodi: USD 1,500 kwa mwezi
✨ Nyumba kubwa ya kifamilia yenye:
🛏️ Vyumba 4 vya kulala (Master)
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining
🍳 Jiko zuri lenye makabati
🚿 Mabafu na vyoo vya ndani pamoja na public toilet
🏠 Gypsum ceiling
🪟 Madirisha ya aluminium
⚡ Umeme wa LUKU yake
📞 Kwa maelezo zaidi na kupanga viewing, piga:
0746 178 918
#NyumbaInapangishwa #MbeziBeach #DarEsSalaam #RealEstateTanzania















