Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani

Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA JIPYAA ZURI SANA LA VYUMBA VINNE VYA KULALA LINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 20 TU MAONGEZI YAPO π
==========
π»Lina vyumba vinne vya kulala, Chumba kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π»Jiko
π»Store
π» Public toilet
π» Dinning Room
__________________
βοΈ Lipo kwenye barabara ya mtaa
_____________________
π° BEI MILIONI 20 TU
Maongezi yanafanyika site.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















