Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni / Malaika Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 480,000,000

Maelezo

๐Ÿก๐Ÿ”ฅ GHOROFA LA KISASA LINAUZWAโ€“ KIGAMBONI, /MALAIKA BEACH ๐Ÿ”ฅ๐Ÿก

๐Ÿ’Ž FURSA YA KIPEKEE KARIBU NA BEACH!

Ghorofa la kisasa kabisa linauzwa Kigamboni, eneo la Mikadi/Malaika Beach, sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji wa kitalii. Eneo la Mikadi liko karibu na Kigamboni Ferry na lina ufukwe wa Bahari ya Hindi.

โœจ SIFA ZA GHOROFA:
โœ… Vyumba 4, vyote Master
โœ… Sebule
โœ… Dining
โœ… Jiko
โœ… Design ya kisasa kabisa
๐Ÿ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
๐Ÿ“„ Hati ya Wizara
๐ŸŒŠ Takribani mita 200 kutoka Beach

๐Ÿ“ UMBALI:
๐Ÿš— Mita 200 kutoka barabarani
โ›ด๏ธ Kilomita 3 kutoka Ferry
๐ŸŒ‰ Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni

๐Ÿ’ฐ BEI: TZS MILIONI 480
๐Ÿค Mazungumzo kidogo yapo.

๐Ÿ”ฅ GHOROFA HILI LINAfaa kwa:
๐Ÿจ Hotel
๐Ÿก Airbnb
๐ŸŽ‰ House Party
๐Ÿ  Makazi ya familia
๐Ÿ“ˆ Uwekezaji wa muda mrefu

๐ŸŒด Eneo la Kigamboni lina fursa nzuri kwa miradi ya makazi na utalii kutokana na ukanda wake wa pwani.

๐Ÿ“ž

Dm

dalali mpole kibamba

dalali_mpole_kimara_kibamba

@dalali_mpole_kimara_kibamba

View Listings

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

dalali mpole kibamba