Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamaz Magengeni, Dar Es Salaam (600 sqm)

Chamazi, Temeke, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 145,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Tiles
Public Toilet
Jiko
Sitting Room
Dining Room
Maelezo
Kwa Maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp 0759 203175 0652 618 143 🇹🇿
Nyumba nzuri sana ipo mbagala chamaz magengeni jiji la dar es salaam wilaya ya temeke
Ina uzwa tsh mil 145 tu
Eneo square mitar 600
Ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa 🏬
Vyumba vipo vnne vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom
Ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet 🚻
