Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam

Chamazi, Temeke, Dar Es Salaam
9 hours ago
Sh. 90,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Barabara ya Karibu
1minute
Huduma na Sifa
Umeme
Maji
Sitting room
Dining room
Modern kitchen
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI MIKUMI 🏡
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 90 tu!
📍 Location: Mbagala Chamazi Mikumi
🚶♂️ Umbali: Dakika 1 tu kutoka barabara kuu ya lami
Sifa za nyumba: ✔️ Vyumba 4 vya kulala viwili master
✔️ Sitting room
✔️ Dining room
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Umeme upo
✔️ Maji ya uhakika (yanapatikana muda wote)
🏠 Nyumba ni ya kisasa na ipo kwenye mazingira mazuri sana – ni chaguo sahihi kwa makazi ya familia.
📞 Kwa maelekezo zaidi na kuangalia nyumba:
Piga simu: 0683 665 504
