Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 90,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Barabara ya Karibu

1minute

Huduma na Sifa

Umeme
Maji
Sitting room
Dining room
Modern kitchen

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI MIKUMI 🏡
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 90 tu!
📍 Location: Mbagala Chamazi Mikumi
🚶‍♂️ Umbali: Dakika 1 tu kutoka barabara kuu ya lami
Sifa za nyumba: ✔️ Vyumba 4 vya kulala viwili master
✔️ Sitting room
✔️ Dining room
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Umeme upo
✔️ Maji ya uhakika (yanapatikana muda wote)
🏠 Nyumba ni ya kisasa na ipo kwenye mazingira mazuri sana – ni chaguo sahihi kwa makazi ya familia.
📞 Kwa maelekezo zaidi na kuangalia nyumba:
Piga simu: 0683 665 504