Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Segerea ā Viwanja Vya Benk, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Barabara ya Karibu
1minute
Huduma na Sifa
Maelezo
š HOUSE FOR RENT ā STAND ALONE
š Location: Tabata Segerea ā Viwanja Vya Benk
š¶ Umbali wa dakika 1 tu kutoka barabara kuu
š° Bei: Tsh 800,000
⨠Sifa za Nyumba:
šļø Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
šļø Sebule na Dining Room
š³ Jiko lenye makabati
š½ Public Toilet ya ndani
šļø Vyumba vyote vina makabati
š§ Maji ya Kisima na DAWASCO yanapatikana
š° Reserve Water Tank
šæ Mazingira mazuri na salama
šµ Service Charge: Tsh 20,000 kuja kuona nyumba
š Kodi ya mwezi mmoja kwa dalalibeda_tabata
š Kwa maelezo zaidi na kuja kuona nyumba, piga simu:















