Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Buza, Dar Es Salaam (700 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 190,000,000

Maelezo

NYUMBA MBILI ZA KISASA ,TZS.190 MILIONI, BUZA.

Kiwanja kina SQM. 700.
KINA LESENI YA MAKAZI.

Kila moja inajitegemea kwa kila kitu.
Zote zinafanana Ramani na muundo wa ujenzi.

Kola moja ina Vyumba 3 (Masta
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Kwasasa zote zina Wapangaji na
Kodi ni Tzs.400,000/Mwezi kila nyumba.

Mtaa umejengeka.
Na Parking ipo kwa Usalama wa Gari zako.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000

(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548
_______________mpg

Matangazo mengine Buza, Dar Es Salaam