Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chamazi Mfenesin, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 NYUMBA INAUZWA – CHAMAZI MFENESIN 🔥
Bei: Milioni 60 (mazungumzo yapo)
Mwenye nyumba anauza kwa haraka – usiikose fursa hii!
✔️ Vyumba 3 vya kulala – vyote Master Bedroom
✔️ Nyumba ya kisasa yenye A/C
✔️ Kisima cha maji – huduma ya maji ya uhakika
✔️ Eneo zuri na tulivu, linafikika kwa urahisi
💥 Hii ni deal ya kipekee – shida isimpate mwenzio ikakuacha wewe!
📍 Ipo Chamazi Mfenesin
📞 Kwa maelekezo zaidi piga: 0683 665504
Wahi sasa kabla haijaondoka!















