Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisesa Center, Mwanza (1302 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 135,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

1302 SQM

Barabara ya Karibu

500m

Huduma na Sifa

Maji
Kisima
Tanki la Maji
Feni
CCTV

Maelezo

Hicho kiwanja pia kipo kwenye huwo mjengo..
Yaani eneo lote ni viwanja viwili vya kuunga, kimoja ndo kina nyumba pamoja na fence, kingine ndo hicho cha nje ya fensi ila kimechimbiwa kisima cha maji na kujengewapo tank la maji hilo unaloliona huko mwishoni..
Ni bonge la mjengo balaaa🔥🔥🔥
Ukubwa wa kiwanja ni sqm 1302
Mjengo unavyumba vitatu sebule jiko stoo nk
Mjengo una full camera, kisima cha maji nk
Mjengo upo mita 500 tu! Kutoka lami
Mjengo upo kisesa center barabara ya kuelekea usagara jijini Mwanza
Kutoka lami hadi kwenye huo mjengo ni mita 500 tu! Yaani ni mwendo wa kutembea kwa mguu dakika kumi tu! Kutoka sokoni/stendi
Mjengo unauzwa milioni 135 cash pesa faster
(Muhusika kaamishwa kikazi)
Maelezo zaidi nenda WhatsApp 0763 296 711