Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mwongozo, Kigamboni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, MWONGOZO 🏡
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo lenye maendeleo makubwa la Kigamboni – Mwongozo.
✅ Vyumba 3 (Vyumba 2 ni Master)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Ukubwa wa kiwanja: 600 Sqm
✅ Hati ya Serikali ya Mtaa
💰 Bei: TZS Milioni 65 (Maongezi kidogo yapo.)
📍 Umbali:
• Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
• Kilomita 10 kutoka Feri ya Kigamboni
• Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
🛣️ Usafiri unapatikana muda wote.
🌟 Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia na pia ni fursa nzuri ya uwekezaji katika eneo linaloendelea kwa kasi.
📞 0769554221
#trendingvideo #realestateforsale #istagram #tanzania🇹🇿 #trendingsongs















