Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
Eneo kubwa linauzwa Kigamboni, Dar es Salaam π
π Ukubwa wa SQM 1,000
β
Limepimwa
β
Lina hati safi ya wizara
Ndani ya eneo kuna nyumba 2 kali sana π π
Kila nyumba ina:
ποΈ Vyumba 2 vya kulala
ποΈ Sebule
π½οΈ Dining
π³ Jiko
β¨ Vitu vya ziada:
βοΈ Eneo lote limeshazungushiwa fence
βοΈ Kuna kisima tayari
βοΈ Kila nyumba ina umeme wake separate
βοΈ Mazingira mazuri na salama sana
βοΈ Space kubwa ya kuongeza maendeleo zaidi
π‘ Linafaa kwa:
β
Makazi
β
Uwekezaji
β
Kupangisha nyumba zote upate kipato
β
Watu wawili kugawana eneo
π Location nzuri sana:
π£οΈ Meta 200 tu kutoka barabara ya lami
β΄οΈ Kilometa 4 mpaka Ferry
π Kilometa 3 mpaka Darajani
π° Bei ya zamani: Milioni 170
π₯ Bei ya sasa: Milioni 140 tu mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious
π΅ Service Charge: Tsh 30,000 kwa kwenda kuangalia eneo
π Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni uwekezaji fyp viralproperty















