Kiwanja kinauzwa Kigamboni Geza Ulole, Dar Es Salaam sqm 1230

Ukubwa
1230 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
π₯ KIWANJA CHA KONA KINACHOUZWA π₯
π Kigamboni Geza Ulole Block 15
β
Kiwanja kikubwa Corner Plot)
β
Ukubwa: Meta za Mraba 1,230
β
Umbali wa mita 300 tu kutoka barabara ya lami
β
Kilomita 10 kwenda Ferry
β
Kilomita 9 kwenda Daraja la Nyerere
β
Kiwanja kimepimwa rasmi
β
Kina hati safi kutoka Wizara ya Ardhi
β
Kimezungushiwa uzio pande mbili
β
Kina boma la ghorofa
β
Kinapakana na barabara mbili kubwa za mtaa zenye upana wa mita 15
β
Eneo limeendelea kwa kiwango kikubwa na lina miundombinu bora
π‘ Matumizi Yanayofaa:
π’ Ujenzi wa Apartment
π Nyumba ya makazi
π¨ Lodge
π΄ Uwekezaji wa Airbnb
π¬ Shughuli mbalimbali za kibiashara
π° Bei: TZS 185,000,000
π Nafasi ndogo ya mazungumzo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
β οΈ Ada ya Kutembelea Eneo (Site Visit): TZS 30,000
π Simu/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja realestateapartment kigamboni gezauole viwanjavinauzwa cornerplot airbnbinvestment darrealestate
:
Kiwanja hiki kinafaa sana kwa mwekezaji anayehitaji eneo la karibu na mji lenye potential kubwa ya kupanda thamani kwa haraka.















