Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 15,000,000

Maelezo

#Repost dalali_viwanja_nyumba_dar_
โ€”โ€”
Kiwanja kinauzwa bei milion 15, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 400, eneo zuri sana pia barabara ya mtaa hipo hadi site ya kiwanja, pia hapa katika kiwanja kuna msingi wa nyumba ya vyumba 3 vya kulala, sebule, dining room, jiko na public toilet, na eneo hii ya kiwanja ina fensi pande mbili 2 tayari, kutoka kituoni dakika 4 hadi 5 tu, hii kiwanja hipo maeneo ya tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam

Ndugu mteja changamuka eneo aikai hii ni kama bahati tu๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ

Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service charge tsh 50000

Follow dalali mchina tabata kinyerezi
Istangram
Facebook
Tik tok
You tube
X tw...