Viwanja vinauzwa Buyuni (Mti Mweupe), Kimbiji kwa Chale, Dar Es Salaam


Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Ndoto yako ya kumiliki ardhi au nyumba inaanzia hapa! ๐กโจ
Usisubiri kesho kuanza kujenga Maisha unayotamani โ chukua hatua leo. Tunakuletea viwanja vilivyo kwenye maeneo mazuri, salama na vinavyokua kwa kasi kwa uwekezaji wenye uhakika.
Amini ndoto yako, wekeza kwa busara, na jenga maisha bora kwa familia yako.
Dream it. Believe it. Build it.
๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 ๐Kimbiji kwa Chale ๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 Wasiliana nasi: ๐+255 748 303 601 Ofisi zipo ๐Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11 ๐Your future starts with one smart decision, make it today #LandInvestment #OwnYourFuture #PropertyInvestment #SmartMoves #FutureGoals InvestToday SecureYourFuture HomeGoals LandForSale
