Viwanja vinauzwa Kigamboni Mwasonga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅMRADI MPYA ๐ฅ
๐KIGAMBONI MWASONGA
Fursa nzuri kwa yeyote anayetamani kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye makazi tayari.
โ
Mradi upo KM 23 kutoka Ferry.
โ
Ni KM 2 tu kutoka barabara kuu.
โ
Eneo tayari limeendelea na majirani wapo wanaishi.
โ
Kuna huduma zote za kijamii.
๐Ukubwa wa viwanja kuanzia SQM 400 na kuendelea, hivyo unaweza kuchagua ukubwa unaokufaa kwa makazi au uwekezaji.
๐ฐBei:
โข Tsh 25,000 kwa SQM Cash
โข Tsh 30,000 kwa SQM - Installments miezi 18.
๐Dar Office Zetu Zinapatikana Makumbusho, Mwanga Tower 12th Floor.
๐Dodoma Nyerere Square (Imarika Floor No 2)
Call/WhatsApp
๐ฑ 0675557452















