Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Maelezo
Fremu Zinapangishwa Sinza
📍 Sinza – Tsh 1,000,000 kwa mwezi
✅ Eneo zuri kwa biashara
✅ Inafaa kwa ofisi au duka
📍 Sinza – Tsh 800,000 kwa mwezi
✅ Fremu nzuri na yenye nafasi ya kutosha
✅ Mazingira ya biashara yenye wateja wengi
📞 Wahi kabla hazijachukuliwa.















