Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 800,000/month

Maelezo

🚨 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🚨

📍 Eneo bora la biashara, linaonekana vizuri na lipo karibu na barabara kuu.
💰 Kodi: TSh 800,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 6

✅ Inafaa kwa:
• Salon 💇‍♀️
• Boutique 👗
• Pharmacy 💊
• Cosmetics 💄
• Office 🏢
• Mini Supermarket 🛒
• Biashara yoyote inayohitaji eneo lenye wateja wa kutosha.

✨ Muonekano mzuri wa biashara
🚗 Parking ipo
⚡ Umeme unajitegemea

💵 Service Charge: TSh 30,000

📞 Wasiliana nasi sasa kupanga kuiona fremu kabla haijapangishwa!