Frame ya Biashara inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🚨 FREMU INAPANGISHWA – SINZA 🚨
📍 Eneo bora la biashara, linaonekana vizuri na lipo karibu na barabara kuu.
💰 Kodi: TSh 800,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 6
✅ Inafaa kwa:
• Salon 💇♀️
• Boutique 👗
• Pharmacy 💊
• Cosmetics 💄
• Office 🏢
• Mini Supermarket 🛒
• Biashara yoyote inayohitaji eneo lenye wateja wa kutosha.
✨ Muonekano mzuri wa biashara
🚗 Parking ipo
⚡ Umeme unajitegemea
💵 Service Charge: TSh 30,000
📞 Wasiliana nasi sasa kupanga kuiona fremu kabla haijapangishwa!















