Viwanja vinauzwa Kerege Manofu, Pwani sqm 400




Kerege, Pwani
1 month ago
Sh. 6,700,000
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Huduma na Sifa
Maelezo
Sisi tunauza viwanja. Tupigie kwa namba na sasa tuna ofa ya sabasaba.
—
Hapa kerege manofu utapata viwanja kuanzia tsh 6,700,000/= hadi 8,800,000/= pekee
—viwanja vya ukubwa wa SQM 400 mpaka 500.
—
vyote vimepimwa unapata na hati miliki.
Mitaa imejengeka sana maji umeme Vipo site
—
Ni nyuma ya hospital ya Alliance na kuna private school karibu kabisa na mradi kama mita 400 tu
OFAA hizi haupati sehemu nyingine zaidi ya @vijana_realestate
Ofisi zetu zipo tegeta azania CHIEF HOUSE ghorofa ya kwanza.














