Viwanja vinauzwa Kerege Manofu, Pwani sqm 400




Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Huduma na Sifa
Maelezo
Sisi tunauza viwanja. Tupigie kwa namba 0789 100 100 na sasa tuna ofa ya sabasaba.
—
Hapa kerege manofu utapata viwanja kuanzia tsh 6,700,000/= hadi 8,800,000/= pekee
—viwanja vya ukubwa wa SQM 400 mpaka 500.
—
vyote vimepimwa unapata na hati miliki.
Mitaa imejengeka sana maji umeme Vipo site
—
Ni nyuma ya hospital ya Alliance na kuna private school karibu kabisa na mradi kama mita 400 tu
OFAA hizi haupati sehemu nyingine zaidi ya @vijana_realestate
Ofisi zetu zipo tegeta azania CHIEF HOUSE ghorofa ya kwanza.












