Viwanja vinauzwa Kerege Manofu, Pwani sqm 400

Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
2km β Bagamoyo Road
Huduma na Sifa
Maelezo
Unataka kiwanja kizuri kilichopimwa upate na hati miliki? Hivi hapa tunakuuzia kwa bei ya Ofa ya sabasabaππ Tupigie simu 0789 100 100 au 0675 200 300.
β
_
Bei: Vinaanzia Tsh 6,700,000/= hadi 8,700,000/= (million sita na saba hadi milioni nane na laki saba tu). Ofa hii inaisha tarehe 07/07/2026
_
Ukubwa: vinaanzia SQM 400 mpaka 500.
β
Viwanja vimepimwa na utapata HATI MILIKI Kutoka Wizarani!
_
Location: Vipo KEREGE MANOFU. Ni kilometa Mbili pekee toka Lami ya bagamoyo road.
NB.Kerege ni mji upo njia ya bagamoyo ukitoka Dar es salaam unaanza mapinga inafata Kerege.
β
ππππππ ππππ ππππππ πππππ
πππ ππππ.
π° Maji
π‘Umeme
π£ Barabara
__
Tupigie simu :
0675-200 300 au 0789-100 100
.............................
Fuatilia ukurasa wetu @vijana_realestate
π’Tembelea Ofisi zetu: Tegeta Azania, Chiefβs House F.No.1








