Viwanja vinauzwa Kimbiji kwa Chale, BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni, Dar Es Salaam


Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
200m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
FROM VISION TO REALITY โ Badilisha ndoto yako kuwa uhalisia leo! ๐กโจ
Kila mmoja wetu ana ndoto ya kuwa na sehemu yake ya uhakika โ iwe ni kujenga nyumba ya familia, kuwekeza kwa ajili ya baadaye, au kuhakikisha una urithi salama kwa vizazi vijavyo. Swali ni moja tu: umeanza kuchukua hatua?
Kupitia huduma zetu, tunakupa fursa ya kupata ardhi na uwekezaji ulio salama, wenye nyaraka halali na uliopo kwenye maeneo yenye ukuaji wa kasi. Tunakusaidia si tu kununua, bali pia kukuongoza hatua kwa hatua mpaka kufikia mafanikio yako. Hapa, hatuuzwi tu viwanja โ tunajenga ndoto zako. Miradi ๐Kimbiji kwa Chale ๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24
๐ Ofisi zetu zipo Makumbusho, Derm Plaza (Ghorofa ya 11)
๐+255 748 303 601
Wasiliana nasi leo kwa ushauri na maelekezo sahihi
Usisubiri kesho wakati fursa ipo leo. Thamani ya ardhi inaongezeka kila siku โ hatua utakayochukua sasa ndiyo itakayokuja kukupa matokeo makubwa kesho.
Chagua kuanza leo. Chagua kuwekeza kwa busara. Chagua kubadilisha maisha yako.
#Andaamakazi #FromVisionToReality #UwekezajiBora #MilikiArdhi #RealEstateTanzania NdotoZinatimia FursaLeo MaishaBora
