Viwanja vinauzwa Kimbiji kwa Chale, BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 17,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Barabara ya Karibu

200m

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Bichi
Near Main Road
Near Sea
Near Main Road
Near Sea

Maelezo

FROM VISION TO REALITY โ€“ Badilisha ndoto yako kuwa uhalisia leo! ๐Ÿกโœจ
Kila mmoja wetu ana ndoto ya kuwa na sehemu yake ya uhakika โ€“ iwe ni kujenga nyumba ya familia, kuwekeza kwa ajili ya baadaye, au kuhakikisha una urithi salama kwa vizazi vijavyo. Swali ni moja tu: umeanza kuchukua hatua?
Kupitia huduma zetu, tunakupa fursa ya kupata ardhi na uwekezaji ulio salama, wenye nyaraka halali na uliopo kwenye maeneo yenye ukuaji wa kasi. Tunakusaidia si tu kununua, bali pia kukuongoza hatua kwa hatua mpaka kufikia mafanikio yako. Hapa, hatuuzwi tu viwanja โ€“ tunajenga ndoto zako. Miradi ๐Ÿ“ŒKimbiji kwa Chale ๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐Ÿ“ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ€“ Dar es Salaam
โœ” Km 2 kutoka Baharini
โœ” Km 1 kutoka Barabara kuu
๐Ÿ’ฐ Bei Maalum:
โ€ข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โ€ข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โœ” Malipo kwa awamu hadi miezi 24
๐Ÿ“ Ofisi zetu zipo Makumbusho, Derm Plaza (Ghorofa ya 11)
๐Ÿ“ž+255 748 303 601

Wasiliana nasi leo kwa ushauri na maelekezo sahihi
Usisubiri kesho wakati fursa ipo leo. Thamani ya ardhi inaongezeka kila siku โ€“ hatua utakayochukua sasa ndiyo itakayokuja kukupa matokeo makubwa kesho.
Chagua kuanza leo. Chagua kuwekeza kwa busara. Chagua kubadilisha maisha yako.
#Andaamakazi #FromVisionToReality #UwekezajiBora #MilikiArdhi #RealEstateTanzania NdotoZinatimia FursaLeo MaishaBora