Nyumba inauzwa Temeke, Dar Es Salaam







NYUMA IPO MBAGARA CHAMAZ MKOA WA DAR ES SALAM WILAYA YA TEMEKE
ZIPO NYUMBA MBILI NDANI YA FENS MOJA KWENYE KIWANJA KIMOJA ZOTE KWA PAMOJA ZINA UZWA TSH MIL 180 TU
NYUMBA ZIPO MBAGALA CHAMAZI KWA MKONGO JIJI LA DAR ES SALAM WILAYA YA TEMEKE KATA YA CHAMAZI MTAA WA DOVYA
NYUMBA KUBWA YA KISASA KABISA INA VYUMBA VNNE VYA KULALA VYUMBA VYOTE NI MASTERS BDROOM INA SITTING ROOM INA DAINING ROOM
INA JIKO NA STORE INA PUBLIC TOILET INA KISIMA CHA MAJI NA UMEME UPO WA RUKU
NA HII GJ INA VYUMBA VNNE CHUMBA SEBULE NA CHOO
VIKO VIWILI
UDU WA ENEO SQUARE MITER 800
INA DOCUMENTS ZOTE ALALI ZA OFFICE YA SILIKALI YA MTAA
KUTOKA BARA BARA KUU YA LAMI KUJA KWENYE HII NYUMBA NI DAKIKA 3 TU
UKIWA SERIOUS BOSS WANGU NIPIGIE CM AU NICHEKI WHATSAPP 0759 203175 0652 618 143 π