Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mlandizi, Pwani


NYUMBA INAUZWA NA BANK, TSHS.45 MILIONI, MLANDIZI MJINI.
Ipo mita chache tj kutoka Barabara ya Morogoro.
Ukubwa wa Kiwanja ni SQM. 400
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_______________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.