Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa mbagala chamazi magengeni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 300,000/month

Huduma na Sifa

Maelezo

Nyumba inapangishwa bei laki 3 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi magengeni, ni stand alone house ina sitting room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo pia, tiliz, madilisha vioo, fensi ya parking ipo pia. Nyumba ni mpya kabisa haijakaliwa na mtu yeyote yule, umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 ivi kwa kutembea kwa miguu kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.

Matangazo yanayofanana Mbagala, Dar Es Salaam

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Maduka, Dar Es Salaam

Sh. 150,000/month

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Karibu na Stendi ya Mabasi

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Maduka, Dar Es Salaam

Sh. 150,000/month

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Jiko

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe Stendi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000/month

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Uzio

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Matitu, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000/month

  • Umeme

  • Mita ya Maji Inajitegemea

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe, Ungindoni, Dar Es Salaam

Sh. 150,000/month

  • Tiles

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa mbagala chamazi, Dar Es Salaam

Sh. 120,000/month

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

  • Tiles