Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa mbagala chamazi, Dar Es Salaam

Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam
3 days ago
Sh. 120,000 per month
Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
1000m
Huduma na Sifa
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Tiles
Uzio
Jiko La Ndani Kwa Ndani
Maelezo
Chumba single master bedroom kinapangishwa bei 120 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi location kwaulembo, chumba single master bedroom kina tiliz madilisha vioo, jiko la ndani kwa ndani, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi pia ipo. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba boda boda ni buku tu, Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.
