Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa mbagala chamazi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 120,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

1000m

Huduma na Sifa

Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Tiles
Uzio
Jiko La Ndani Kwa Ndani

Maelezo

Chumba single master bedroom kinapangishwa bei 120 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi location kwaulembo, chumba single master bedroom kina tiliz madilisha vioo, jiko la ndani kwa ndani, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi pia ipo. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba boda boda ni buku tu, Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.