Apartments zinauzwa Tabata, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
π’β¨ APARTMENT MPYA ZINAUZWA β TABATA, DAR ES SALAAM β¨π’
π Fursa adhimu ya uwekezaji katika eneo la Tabata, linalokua kwa kasi na lenye miundombinu rahisi kufikika ndani ya Dar es Salaam.
πΉ Maelezo ya Mali:
π Jumla ya apartments 8 mpya kabisa
ποΈ Units 6: Chumba 1 cha kulala (1BHK)
π Units 2: Vyumba 2 vya kulala (2BHK)
πΉ Sifa Muhimu:
β¨ Finishing za kisasa
π’ Zinafaa kwa makazi au matumizi ya kibiashara (Rentals, Airbnb, Ofisi)
π Neighborhood tulivu na salama
π Mahitaji makubwa ya wapangaji na mapato mazuri
π Ufikiaji rahisi wa barabara kuu na usafiri wa umma
π° Bei: 1 bil tsh
Ni chaguo bora kwa wawekezaji au wanunuzi wanaotafuta mali yenye ubora na inayozalisha kipato Tabata.
π Kwa Viewing:
Piga simu au WhatsApp:
π₯ Wekeza kwa busara. Miliki ubora. Linda kesho yako Tabata.
Dalali wako Wakishua β¨
#ardhi #daressalaam #mpya #ujenzi















