Apartment ya chumba kimoja inauzwa Tabata Baracuda, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ข๐ฅ APARTMENTS ZINAUZWA โ TABATA BARACUDA ๐ฅ๐ข
Fursa adimu ya uwekezaji wa uhakika! ๐ฐ
๐ Dakika 2 tu kutoka kituo cha Mwamgongo
๐ Location nzuri na yenye uhitaji mkubwa wa wapangaji
๐น Maelezo ya Apartments:
๐ Jumla ya Units: 14
๐๏ธ Kila moja: Master + Sebule + Jiko
๐ต Kodi ya sasa: 300,000/= kwa mwezi kila unit
๐ Uwezo wa kuongeza hadi 400,000/= kwa kuboresha (AC n.k.)
โก๏ธ Mapato ya sasa: 4,200,000/= kwa mwezi
โก๏ธ Mapato yanayowezekana: 5,600,000/= kwa mwezi
๐ Eneo: Sqm 400
๐ Hati ipo
๐ฐ Bei: Milioni 600 (maongezi kidogo yapo kwa mteja serious)
Huu ni uwekezaji wa muda mrefu na wa uhakika kwa wateja wanaojua biashara.
๐ฅ Karibu tufanye biashara!
๐ +255 688 412 890
#Tabata #ApartmentsInauzwa #UwekezajiWaUhakika #DalaliWakoWakishua #MilikiKeshoYakoLeo















