Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam sqm 225

Ukubwa
225 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
#Repost dalali_viwanja_nyumba_dar_
ββ
π‘ KIWANJA KINAUZWA βTABATA KINYEREZI MWISHO MUHANGA π‘
π° BEI: MILIONI 13 TU
π Ukubwa: MITA 15 KWA 15 MITA
β
Kiwanja ni tambarare kabisa.
β
Kiwanja kipo mtaa mnzuri sana kumejengeka
β
Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto.
β
Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
π Umiliki wake ni Sales Agreement.
Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
π Muhitaji piga: +255 768682919 au 0653233641
π΅ Gharama ya huduma (Service Charge): 50,000/=
Karibu Tajiri!
Miliki Kesho Yako Leo!!! ππ‘















