Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe, Ungindoni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 150,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Huduma na Sifa

Tiles
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Paving Blocks
Uzio
Karibu na Barabara

Maelezo

Chumba sebule master bedroom pamoja na jiko lake la ndani kwa ndani kinapangishwa bei 150 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe location ungindoni, chumba sebule master bedroom kina tiliz, madilisha vioo, umeme unajitegemea mita yk pamoja na maji pia mita yk, paving blocks chini zpo, na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika moja ivi kwa kutembea kwa miguu, Nyumba inaangalia barabarani kabisa. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.