Apartments zinauzwa Tabata, Dar Es Salaam

Maelezo
🏢✨ APARTMENT MPYA ZINAUZWA – TABATA, DAR ES SALAAM ✨🏢
📍 Fursa adhimu ya uwekezaji katika eneo la Tabata, linalokua kwa kasi na lenye miundombinu rahisi kufikika ndani ya Dar es Salaam.
🔹 Maelezo ya Mali:
🏠 Jumla ya apartments 8 mpya kabisa
🛏️ Units 6: Chumba 1 cha kulala (1BHK)
🛌 Units 2: Vyumba 2 vya kulala (2BHK)
🔹 Sifa Muhimu:
✨ Finishing za kisasa
🏢 Zinafaa kwa makazi au matumizi ya kibiashara (Rentals, Airbnb, Ofisi)
🔐 Neighborhood tulivu na salama
📈 Mahitaji makubwa ya wapangaji na mapato mazuri
🚗 Ufikiaji rahisi wa barabara kuu na usafiri wa umma
💰 Bei: 1 bil tsh
Ni chaguo bora kwa wawekezaji au wanunuzi wanaotafuta mali yenye ubora na inayozalisha kipato Tabata.
📞 Kwa Viewing:
Piga simu au WhatsApp: +255 688 412 890
🔥 Wekeza kwa busara. Miliki ubora. Linda kesho yako Tabata.
Dalali wako Wakishua ✨
#ardhi #daressalaam #mpya #ujenzi















