Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kimanga, Dar Es Salaam (700 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ APARTMENTS 3 ZINAUZWA β TABATA KIMANGA, DAR ES SALAAM πΉπΏ
π° Bei: Milioni 250
π Ukubwa: SQM 700
Fursa adhimu ya uwekezaji! Apartments hizi tayari zimepangishwa na zinaingiza kipato kila mwezi.
β
Hati Miliki ipo
β
Ziko ndani ya fence
β
Kila nyumba inajitegemea
β
Parking ya kutosha
β
Maji na umeme vipo
β
Mazingira mazuri na salama
π Apartments 2
β’ Kila moja ina vyumba 3 vya kulala
β’ Chumba 1 ni Master
β’ Sebule
β’ Jiko
β’ Choo cha Public
π Apartment 1
β’ Ina vyumba 2 vya kulala
β’ Sebule
β’ Jiko
β’ Choo
π Zipo Tabata Kimanga, katika eneo linalokua kwa kasi na lenye mahitaji makubwa ya nyumba za kupanga.
π΅ Tayari zinaingiza kipato kila mwezi kupitia wapangaji waliopo.
π Muhitaji piga: +255689439787whts up or call
0767175242 call
π΅ Service Charge/Gharama ya Huduma: 30,000/=
π₯ Wahi Sasa Offer Kabambe!















